Home > Terms > Swahili (SW) > Eneo la urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utanaduni la Umoja Wa Taifa.

Eneo la urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utanaduni la Umoja Wa Taifa.

Ni eneo linalotambuliwa na Shirika la Elimu,Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Taifa kama sehemu yenye thamani maalum ya kitamaduni. Linaweza kuwa msitu, mlima, ziwa, jangwa, mjengo, au mji mkubwa Orodha linatengenezwa na programu ya urithi wa dunia inayoendeshwa na kikundi cha Urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utamaduni la Umoja wa Mataifa. Mwaka wa 1872, Kuna maeneo mia tisa sitini na mawili ambayo ni maeneo ya urithi wa dunia ambayo yako katika nchi mia moja hamsini na saba Kwa hayo, mia saba arobaini na tano ni ya kitanmaduni, mia moja themanini na nane ni ya kiasili na ishirini na tisa ni mchanganyiko.

0
  • ส่วนหนึ่งของคำพูด: proper noun
  • คำเหมือน:
  • Blossary:
  • อุตสาหกรรม/ขอบเขต: Culture
  • Category: People
  • Company:
  • ผลิตภัณฑ์:
  • ตัวย่อ-อักษรย่อ:
เพิ่มสู่อภิธานศัพท์ของฉัน

คุณต้องการจะพูดอะไร?

คุณต้องเข้าสู่ระบบเพื่อโพสต์ข้อความสู่การอภิปราย

Terms in the News

Featured Terms

edithrono
  • 0

    Terms

  • 0

    คำศัพท์

  • 1

    Followers

อุตสาหกรรม/ขอบเขต: Festivals Category: Halloween

Halloween

Inajulikana pia kama All Hallow's Eve, Halloween ni likizo ya mwaka inayosherehekewa tarehe 31 Oktoba katika Marekani, Canada, na Uingereza. Ni eti ...

ผู้สนับสนุน

Featured blossaries

5 Cities With Extremely High Homeless Figures

ประเภท: Other   1 7 Terms

Archaeology

ประเภท: History   3 1 Terms

Browers Terms By Category