Home > Terms > Swahili (SW) > Ijumaa kuu

Ijumaa kuu

jina iliyopewa Ijumaa kabla ya Jumapili ya Pasaka, ambayo huadhimisha kusulubiwa kwa Yesu Kristo na kifo chake katika Golgotha. Inaelezwa kama 'Kuu' na Wakristo, kwani bila kusulubiwa hakungekuwa na ufufuo ya kuonyesha jinsi Mungu alishinda dhambi na mauti yenyewe.

Nyeusi (rangi ya huzuni na kilio) ni agizo kwa Ijumaa. Huduma makini inafanyika katika makanisa kama kumbukumbu ya matukio ya kusikitisha ya Ijumaa Kuu ya kwanza.

0
  • ส่วนหนึ่งของคำพูด: noun
  • คำเหมือน:
  • Blossary:
  • อุตสาหกรรม/ขอบเขต: Festivals
  • Category: Easter
  • Company:
  • ผลิตภัณฑ์:
  • ตัวย่อ-อักษรย่อ:
เพิ่มสู่อภิธานศัพท์ของฉัน

คุณต้องการจะพูดอะไร?

คุณต้องเข้าสู่ระบบเพื่อโพสต์ข้อความสู่การอภิปราย

Terms in the News

Featured Terms

Jonah Ondieki
  • 0

    Terms

  • 0

    คำศัพท์

  • 1

    Followers

อุตสาหกรรม/ขอบเขต: Government Category: American government

kuongoza kutoka nyuma

Msemo ambao unasemekana kutumika na Ikulu ya Rais Obama kuelezea vitendo vya Marekani huko Lybia kama "kuongoza kutoka nyuma." msemo huu ...

Featured blossaries

Tennis

ประเภท: Sports   1 21 Terms

Populated cities

ประเภท: Travel   2 9 Terms